Bafana Bafana back in action end of March. Image: @bafanabafanaBafana Bafana are back in action later this month after finishing third in the Africa Cup of Nations. Hugo Broos’ men should be brimming with confidence ahead of their two friendly games. Bafana will play Andorra and Algeria in the next three weeks, according to FIFA. Five coaches likely to replace Hugo Broos as Bafana coach The 2023 Afcon semi-finalist will first play Andorra in Annaba on 21 March, followed by a game against Algeria at the Nelson Mandela Stadium in Baraki. BAFANA PLAY ANDORRA AND ALGERIA LATER THIS MONTH This will mark the first-ever encounter between Bafana and Andorra in an official match. After their Afcon heroics, South Africa are now ranked 58th in the world according to the FIFA rankings. Broos, who led the team to third in the continental tournament, might not return to the country after reports emerged that he told the South African Football Association that he wanted to vacate his position. ...
Taarifa za uhakika zilizotufikia kutoka klabu ya Simba zinasema kuwa mpango wa kumshawishi kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Cletus Chama kusaini mkataba mpya zimegonga mwamba baada ya mchezaji huyo kuwaelekeza kuwa ameamua kuondoka mwishoni mwa msimu huu mkataba wake utakapofikia tamati. Mchezaji huyo amekuwa kwenye kiwango bora sana tangu ilipotangazwa kuwa amesamehewa kutoka kufungiwa Kwa makosa ya utovu wa nidhamu ambayo hayakuwekwa wazi hivyo alisimamishwa na kupelekwa kamati na nidhamu ya klabu hiyo japo alisamehewa bila kufika mbele ya kamati hiyo. Inasemekana kambi ya mchezaji huyo imechukizwa na shutuma mbalimbali ambazo amekuwa akipewa mteja wao huyu Kila mara mambo yanapoonekana kwenda kombo hasa timu hiyo ikifanya vibaya katika mechi mbalimbali. Mchezaji huyo amekuwa akishutumiwa kucheza chini ya kiwango hasa katika mechi kubwa zikiwemo mechi dhidi ya mtani wao Yanga. Kambi ya mchezaji huyo pia inaona mteja wao hapewi heshima inayostahili Kwa amekuwa mchezaji ambaye h...
Comments
Post a Comment